TIBA KWA NJIA YA MISHUMAA
*TIBA KWA NJIA YA MISHUMAA* NA _DR KAHUNIE HERBAL MEDICINE_ Tiba ya Mishuma una siku zake maalum na rangi za kila Mshumaa zinatibu aina fulani ya matatizo *TUNAANZA NA SIKU YA JUMAPILI* 1.Jumapili, Mshumaa unaotakiwa ni wa rangi ya Njano au ya Dhahabu na siku hiyo ni ya kutibu matatizo yanayotokana na ufukara au kupata utajiri au ukiwa una afya mbaya au kumtibia mgonjwa. mafuta yanayotumika ni ya aina ya frankincense 2.Jumatatu. Mshumaa unaotakiwa ni wa rangi Nyeupe au rangi ya urujuani (Violet) na siku hiyo ni ya kutibu Matatizo yanayotokana na nafsi au Maradhi sugu na mafuta yanayo tumika ni ya aina ya camphor. 3.Jumanne. Mshumaa unaotakiwa ni wa rangi Nyekundu na siku hiyo ni ya kutibu matatizo yanayotokana na Kukosa nguvu katika mwili za aina yoyote iwe ya kimwili au kimapenzi. Mafuta yanayo tumika ni ya aina ya Ginger. 4.Jumatano. Mshumaa unaotakiwa ni wa rangi ya Njano au rangi ya Chungwa na siku hiyo ni ya kutibu matatizo yanayotokana na Busara au mamb...